Ta Ha 20:101 خالدين فيه وساء لهم يوم القيامة حملا ١٠١
خَٰلِدِينَ
فِيهِۖ
وَسَآءَ
لَهُمۡ
يَوۡمَ
ٱلۡقِيَٰمَةِ
حِمۡلٗا
١٠١
Wadumu humo. Na ni mzigo muovu kwao kuubeba Siku ya Kiyama!.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hao watakaa milele kwenye adhabu, na utawakera mzigo huo mzito wa madhambi kwa kuwa umewatia Motoni.